Wananchi wakiwa katika shamba lililopo ndani ya Viwanja vya Sabasaba wakiambiwa namna ya kulima aina mbalimbali za mbogamboga Kwenye maonesho ya 41 ya biashara ya kimataifa ya Sabasaba yanayoendelea Jijini Dar es salaam.

Mkurugenzi wa Maendeleo wa kampuni ya Agri Must Lead Peter Mkufya akimuonesha mpiga picha wa Globu ya Jamii mbogamboga aina ya bilinganya inayolimwa ndani va viwanja vya Sabasaba.


Wananchi wakiwa nadani ya shamba liliopo ndani ya Viwanja vya Sabasaba walipotembelea  Kwenye maonesho ya 41 ya biashara ya kimataifa ya Sabasaba yanayoendelea Jijini Dar es salaam. Picha na Emanuel Massaka.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...