Baada ya mzigo mpya kutoka Tecno kuingizwa mtaani kwaajili ya Watanzania wiki moja iliyopita baadhi ya watumiaji wa bidhaa hiyo warudisha majibu mazuri kwa angle tofauti tofauti kuhusiana na simu hiyo #TecnoDude kwa uzoefu waliyoupata katika kipindi hiki kifupi toka wainunue.
Hawa ni baadhi ya wateja wanafamilia wa #TecnoDude #TecnoWashaDude wakijidaiya mambo waliyoyakuta ndani ya simu hiyo kupitia mitandao yao ya kijamii hususan Instagram na  Facebook. 
Wateja mbali mbali wakifurahia sim mpya kutoka Tecno Toleo liitwalo " Wx3Lte" yenye uwezo mkubwa wa 4g, camera na memory ya kutosha. Maarufu kwa jina la "TecnoDude" simu hii inapatikana maduka yote ya  Vodacom nchini @sanchosong @jrjunior5 @eric_mkomoye #tecnodude #tecnowashadude

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...