Mafundi ujenzi wakiwa eneo la mradi mahali ambapo patatumika kuanza kazi ya kucanganaya zege kwa ajili ya kwenda kumiminwa kwenye barabara za juu
Sehemu ya nyumba zilizobomolewa kupisha mradi wa barabara za juu katika eneo la Ubungo jijini Dar es Salaam
Mafundi wakiwa kazini katika mradi huo wa barabara za juu
Maandalizi katika eneo la ubungo Tanesco mahali ambapo panawekwa nguzo za barabara za juu yaani Fly Over katika makutano ya barabara ya Morogoro na Sam Nujoma Ubungo jijini Dar es Salaam.
Picha na Humphrey Shayo, Globu ya Jamii
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...