Mafundi ujenzi wakiwa eneo la mradi mahali ambapo patatumika kuanza kazi ya kucanganaya zege kwa ajili ya kwenda kumiminwa kwenye barabara  za juu
 Sehemu ya nyumba zilizobomolewa kupisha mradi wa barabara za juu katika eneo la Ubungo jijini Dar es Salaam

Mafundi wakiwa kazini katika mradi huo wa barabara za juu



Maandalizi  katika eneo la ubungo Tanesco mahali ambapo panawekwa nguzo za barabara za juu yaani Fly Over  katika makutano ya barabara ya Morogoro na Sam Nujoma Ubungo jijini Dar es Salaam. 
Picha na Humphrey Shayo, Globu ya Jamii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...