Serikali imesema itawachukulia hatua kali kwa wananchama wa vyama vya ushirika watakaobainika kutumia vibaya nafasi zao; https://youtu.be/EaFfpndBx5Y

Jeshi la polisi kikosi cha usalama barabarani kuanza kutumia mufumo mpya ulioboreshwa wa ukusanyaji tozo kwa njia ya kieletroniki; https://youtu.be/2nJ6snIRTh0?t=1

Wadau wa elimu kutoka mtandao wa elimu Tanzania wakuutana jijini Dar es Salaam kujadili namna ya kutoa elimu bora kwa watoto wa kike; https://youtu.be/lw08f-SnGCM

Mamlaka ya mapato Tanzania TRA yaongeza muda wa kulipia kodi ya majengo  kwa wadaiwa hadi July 15 mwaka huu. https://youtu.be/ii77cWnrRyM?t=1

Taasisi ya kupambana na rushwa Geita imemfikisha mahakamani  aliyekuwa afisa ugavi wa halmashauri ya Geita kwa matumizi mabaya ya ofisi. http://simu.tv/rhGNKRg

Waziri Prof.Makame Mbarawa afanya ziara katika ujenzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Kambarage https://youtu.be/VLPCE01p5Hc

Chama cha wafanyabiashara wa Ujerumani kinatarajia kufungua ofisi zake nchini Tanzania katika kudumuisha urafiki na wafanyabiashara nchini; https://youtu.be/4bnjMRR8ym4?t=1

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...