Serikali imesema itawachukulia hatua kali kwa wananchama wa vyama vya ushirika watakaobainika kutumia vibaya nafasi zao; https://youtu.be/EaFfpndBx5Y
Jeshi la polisi kikosi cha usalama barabarani kuanza kutumia mufumo mpya ulioboreshwa wa ukusanyaji tozo kwa njia ya kieletroniki; https://youtu.be/2nJ6snIRTh0? t=1
Wadau wa elimu kutoka mtandao wa elimu Tanzania wakuutana jijini Dar es Salaam kujadili namna ya kutoa elimu bora kwa watoto wa kike; https://youtu.be/lw08f-SnGCM
Mamlaka ya mapato Tanzania TRA yaongeza muda wa kulipia kodi ya majengo kwa wadaiwa hadi July 15 mwaka huu. https://youtu.be/ii77cWnrRyM? t=1
Taasisi ya kupambana na rushwa Geita imemfikisha mahakamani aliyekuwa afisa ugavi wa halmashauri ya Geita kwa matumizi mabaya ya ofisi. http://simu.tv/rhGNKRg
Waziri Prof.Makame Mbarawa afanya ziara katika ujenzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Kambarage https://youtu.be/VLPCE01p5Hc
Chama cha wafanyabiashara wa Ujerumani kinatarajia kufungua ofisi zake nchini Tanzania katika kudumuisha urafiki na wafanyabiashara nchini; https://youtu.be/4bnjMRR8ym4? t=1
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...