Kampuni ya udalali ya Yono Auction Mart inatarajia kupiga mnada jengo la Abla Complex lenye urefu wa ghorofa saba lililopo Mikocheni Dar es Salaam kutokana na mmiliki wake kushindwa kulipa mkopo anaodaiwa na KCB Bank Limited.

Kwa mujibu wa Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo Bi. Scholastica Kevela, Yono wataendesha Mnada huo August 12, 2017 hapo hapo mjengoni, na amekaribisha yeyote mwenye nia ya kununua jengo afike kwenye mnada huo kuanzia saa nne na nusu asubuhi (From 10.30 am).

 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...