Afisa Rasilimali watu wa Kurugenzi ya Rasilimali Watu na Utawala wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Peter Valerian akiwapa maelezo wananchi waliotembelea Banda la BoT  katika maonesho ya Nanenane kwenye  viwanja vya Ngongo mkoani Lindi.
 Afisa wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Tawi la Mtwara, Denis Malosha akitoa maelezo ya utoafautishaji Noti bandia na Noti halali  kwa wananchi waliotembelea banda la BoT katika maonesho ya Nanenane kwenye  viwanja vya Ngongo mkoani Lindi.
 Afisa wa BoT, akionesha noti chakavu ambazo wananchi hawapo (pichani) wamezipeleka katika maonesho ya Nanenane kwenye  viwanja vya Ngongo mkoani Lindi.
 Wananchi wakipata maelezo katika maeneo tofauti ndani ya banda la BoT katika  maonesho ya Nanenane kwenye  viwanja vya Ngongo mkoani Lindi.
 Afisa Uhusiano wa Tazara, Regina Tarimo akitoa maelezo kwa wananchi waliotembelea Banda la Tazara katika maonesho ya Nanenane kwenye  viwanja vya Ngongo mkoani Lindi.
Meneja wa Kitengo cha Hali ya Hewa Kilimo wa TMAA , Isack Yona akiwapa maelezo wananchi waliotembelea banda la mamlaka ya hali hewa nchini TMAA, katika  maonesho ya Nanenane kwenye  viwanja vya Ngongo mkoani Lindi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...