Katibu
Mkuu wa wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt.
Mpoki Ulisubisya (wa kwanza kushoto) akizungumza waandishi wa habari
(hawapo pichani) kuhusu uzinduzi wa tawi la kampuni mpya ya kimataifa
toka nchini China iitwayo Guilin Pharmaceuticals Tanzania Limited
itakayotengeneza na kusambaza dawa za kukabiliana na ugonjwa wa Malaria
kali iitwayo Artesun nchini Tanzania. (wa pili kulia ni Mwakilishi Mkuu
wa China kwenye masuala ya uchumi na biashara nchini Tanzania (wa pili
kushoto) Makamu mkuu wa Rais wa kampuni ya Guilin Pharmaceutical
Tanzania Lily Su (katikati) na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo Ashok
Pandey.
Katibu
Mkuu wa wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt
Mpoki Ulisubisya akipitia baadhi ya nakara za karatasi zilipewa katika
uzinduzi wa uzinduzi wa tawi la kampuni mpya ya kimataifa
toka nchini China iitwayo Guilin Pharmaceuticals Tanzania Limited
itakayotengeneza na kusambaza dawa za kukabiliana na ugonjwa wa Malaria
kali iitwayo Artesun nchini Tanzania.
Katibu
Mkuu wa wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt
Mpoki Ulisubisya (wa kwanza kushoto) akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya uzinduzi wa tawi la kampuni mpya ya kimataifa
toka nchini China iitwayo Guilin Pharmaceuticals Tanzania Limited
itakayotengeneza na kusambaza dawa za kukabiliana na ugonjwa wa Malaria
kali iitwayo Artesun nchini Tanzania. (Wa pili kulia ni Mwakilishi Mkuu
wa China kwenye masuala ya uchumi na biashara nchini Tanzania (wa pili
kushoto) Makamu mkuu wa Rais wa kampuni ya Guilin Pharmaceutical
Tanzania Lily Su (katikati) na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo Ashok
Pandey.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...