Katibu
Tawala wa Mkoa wa Mbeya Bi. Mariam A. Mtunguja akisisitiza jambo mbele
ya watumishi wa umma kutoka mikoa ya Songwe, Iringa, Njombe na Mbeya
alipokuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa semina ya siku nane juu ya
Uimarishaji wa Mifumo ya Kisekta (PlanRep) leo Jijini Mbeya. Semina
hiyo inaendeshwa Kupitia Programu ya Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za
Umma (PS3) kwa ufadhili wa Shirika la Maendeleo la Watu wa Marekani
(USAID). Watumishi kutoka kada za Maafisa Mipango, Makatibu wa Afya,
Wahasibu, Maafisa Tehama, Waganga Wakuu katika ngazi za Mikoa na
Halmashauri za mikoa hiyo
Kiongozi
wa wawezeshaji Bw. Frank Makua Charles akichokoza mada wakati wa semina
katika akichokoza mada wakati siku ya kwanza ya semina ya siku nane
kuhusu Mfumo mpya wa kuandaa Mipango na Bajeti za Mamlaka ya Serikali
za Mitaa (PlanRep) leo Jijini Mbeya. Semina hii ya siku nane inaendeshwa
kupitia Programu ya Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3) chini
ya ufadhili wa Shirika la Maendeleo la Watu wa Marekani (USAID)ambapo
imeshirikisha watumishi kutoka kada za Maafisa Mipango, Makatibu wa
Afya, Wahasibu, Maafisa Tehama, Waganga Wakuu katika ngazi za Mikoa na
Halmashauri za mikoa ya Mbeya, Njombe, Iringa na Songwe.
Mwakilishi
wa Programu ya Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3) Makao Makuu
Dar es Salaam Dkt. Gemini Mtei akielezea jambo wakati wa hafla ya
ufunguzi wa semina ya siku nane juu ya Mfumo mpya wa kuandaa Mipango na
Bajeti za Mamlaka ya Serikali za Mitaa (PlanRep) leo Jijini Mbeya.
Semina hiyo inaendeshwa Kupitia Programu ya Uimarishaji wa Mifumo ya
Sekta za Umma (PS3) chini ya ufadhili wa Shirika la Maendeleo la Watu wa
Marekani (USAID). Semina hii imewahusisha watumishi kutoka kada za
Maafisa Mipango, Makatibu wa Afya, Wahasibu, Maafisa Tehama, Waganga
Wakuu katika ngazi za Mikoa na Halmashauri za mikoa ya Mbeya, Njombe,
Iringa na Songwe.
Mwakilishi
wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka ya Serikali za Mitaa (OR –
TAMISEMI), Bw. James Mtatifikolo akifafanua jambo wakati wa
hafla ya ufunguzi wa semina ya siku nane juu ya Mfumo mpya wa kuandaa
Mipango na Bajeti za Mamlaka ya Serikali za Mitaa (PlanRep) leo Jijini
Mbeya. Semina hiyo inaendeshwa Kupitia Programu ya Uimarishaji wa Mifumo
ya Sekta za Umma (PS3) chini ya ufadhili wa Shirika la Maendeleo la
Watu wa Marekani (USAID). Semina hii imewahusisha watumishi kutoka kada
za Maafisa Mipango, Makatibu wa Afya, Wahasibu, Maafisa Tehama, Waganga
Wakuu katika ngazi za Mikoa na Halmashauri za mikoa ya Mbeya, Njombe,
Iringa na Songwe.
Baadhi
ya washiriki wa semina ya siku nane kuhusu Mfumo mpya wa kuandaa
Mipango na Bajeti za Mamlaka ya Serikali za Mitaa (PlanRep) wakifuatilia
mada wakati wa ufunguzi wa semina hiyo leo Jijini Mbeya. Semina hiyo
inayoendeshwa kupitia Programu ya Uimarishaji wa Mifumo ya
Sekta za Umma (PS3) chini ya ufadhili wa Shirika la Maendeleo la Watu
wa Marekani (USAID). Semina hii imewahusisha watumishi kutoka kada za
Maafisa Mipango, Wachumi, Makatibu wa Afya, Wahasibu, Maafisa Tehama, Waganga Wakuu katika ngazi za Mikoa na Halmashauri za mikoa ya Mbeya, Njombe, Iringa na Songwe.
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...