Vijana sita wa Kimarekani kutoka Mji wa Vallejo, California,  (Sister City International) leo  wametembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani jijini  Washington D.C. Mji wa Vallejo ni Mji Dada na Mji wa Bagamoyo. Lengo la ziara yao ni  kujua na kujifunza masuala mbalimbali kuhusu Tanzania, kwa kuwa wanatarajia kutembelea mji wa Bagamoyo mwaka 2019.

Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Wilson M. Masilingi (kati) na afisa wa ubalozi Bw. Dismas Assenga (kulia) wakiwa na vijana  hao sita kutoka mji wa Vallejo, California

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...