Mawakala wa Benki ya CRDB maarufu kama Fahari Huduma Wakala mjini
Songea, wakifuatilia kwa makini mafunzo ya uborosheji wa huduma kwa
wateja yaliyoandaliwa na Benki ya CRDB. Pichani Ofisa wa benki hiyo,
Willy Kamwela, akifafanua jambo kuhusu mafunzo hayo.
Mawakala
wa benki ya CRDB maarufu kama Fahari Huduma Wakala mjini Songea, wakiwa
katika mafunzo ya uborosheji wa huduma kwa wateja yaliyoandaliwa na
Benki ya CRDB.
Ofisa
wa Benki ya CRDB, Tom Mwaisenye, akitoa mafunzo kwa Fahari Huduma
Wakala-Mjini Songea kuhusu namna bora ya uendeshaji na usimamizi wa
biashara ya Uwakala wa Benki ya CRDB.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...