Naibu Waziri Wizaraya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akiagana na wananchi baada ya kumaliza mkutano wa hadhara,wakati waziara ya kikazi ikiwa lengo ni kukagua masuala ya Ulinzi na Usalama na kusikiliza maoni na kero za wananchi. Mkutano huo ulifanyika katika Viwanja vya Ikwiriri, wilayaniRufiji,MkoaniPwani .
Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni,akizungumza katika mkutano wahadhara wakati waziara ya kikazi ikiwa lengo ni kukagua masualaya Ulinzina Usalama na kusikiliza maoni na keroza wananchi. Mkutano huo ulifanyika katika Viwanja vya Ikwiriri, wilayani Rufiji,mkoani Pwani.
WananchiwakifurahiajambokwenyemkutanowahadharawakatiwaziarayakikaziyaNaibu Waziri Wizaraya Mambo ya NdaniyaNchi,Mhandisi Hamad Masauni(hayupopichani),ikiwalengonikukaguamasualayaUlinzinaUsalamanakusikilizamaoninakerozawananchi. MkutanohuoulifanyikakatikaViwanjavyaIkwiriri, wilayani Rufiji,mkoaniPwani.
PichanaWizaraya Mambo yaNdaniyaNchi
IMEANDALIWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI-WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...