Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hawa bloggers wasipodhibitiwa wanaweza kuhatarisha amani ya nchi kwani watu wabaya wanawatumia sana kudanganya umma kwa kurusha habari potofu.
ReplyDeleteKwanza nilichokigundua ni kwamba watangazaji wengi hawana ELIMU na kile wanachokitangaza au kukihoji. Pili, Wengi wao hawana maswali ya kuwabana wanaowahoji. Kwa mfano lissu alipowaambia waandishi wa habari kwamba kuna watu wanamfuata, hakuna hata mwandishi/blogger mmoja aliyemuuliza kama ameomba ulinzi kwa kuhofia maisha yake au ameshtaki police? Maswali yao hayana BALANCE, yapo upande mmoja zaidi. ELIMU na MIKO ya taaluma hii inatakiwa kupewa kipaumbele.