Marehemu Dafrosa Sabinus Kweka
1970 - 1999
Ni miaka kumi na nane (18) sasa toka
umerudi kwa baba.
Ninapokosa maneno yako ya busara na
hekima, ucheshi na ujasiri.
Ninakukumbuka sana na kukuombea mimi
mtoto wako wa pekee Jesca, pia
unakumbukwa sana na mume wako
mpendwa, Ibrahim Msengi, kaka zako
Festo na Thade, dada zako Jane, Eugenia,
Elizabeth na Cesilia pamoja na Mjukuu
wako Dafrosa Michael Chenza.
“Msijisumbue kwa neno lolote, bali
katika kila neno kwa kusali na
kuomba pamoja na kushukuru,
haja zenu zijulikane na
Mungu.” Fil: 4:6
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...