WANAWAKE
wenye ulemavu Tanzania wamezindua mtandao wa wanawake wenye ulemavu
Tanzania ambao utakuwa ukiwasaidia kutatua changamoto mbalimbali zinazo
wakabili.
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Mtandao huo jijini Dar es Salaam leo
Katibu wa jumuiya ya wanawake na watoto wenye ulemavu Tanzania na diwani manispaa ya Ilala, Nuru awadhi amesema kuwa mtandao huo utakuwa karibu zaidi na wanawake walemavu wa Tanzania ili kujua changamoto za kiuchumi zinazo wakabiri.
Mtandao huo ambao upo chini ya mwavuli wa shirikisho la watu wenye ulemavu tanzani(SHIVYAWATA) amaesema kuwa mtandao huo utalenga zaidi katika kuwainua kiuchumi wanawake walemavu pamoja kuwasaidi kupata mikopo mbalimbali kutka taasisi za kifedha ambazo zitajitokeza kuwasaidi kutokana na hali zao.
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Mtandao huo jijini Dar es Salaam leo
Katibu wa jumuiya ya wanawake na watoto wenye ulemavu Tanzania na diwani manispaa ya Ilala, Nuru awadhi amesema kuwa mtandao huo utakuwa karibu zaidi na wanawake walemavu wa Tanzania ili kujua changamoto za kiuchumi zinazo wakabiri.
Mtandao huo ambao upo chini ya mwavuli wa shirikisho la watu wenye ulemavu tanzani(SHIVYAWATA) amaesema kuwa mtandao huo utalenga zaidi katika kuwainua kiuchumi wanawake walemavu pamoja kuwasaidi kupata mikopo mbalimbali kutka taasisi za kifedha ambazo zitajitokeza kuwasaidi kutokana na hali zao.
Katibu wa jumuiya ya wanawake na watoto wenye ulemavu Tanzania na diwani manispaa ya Ilala, Nuru
awadhi akizungumza na wanawake walemavu wakati wa uzinduzi wa Mtandao
wa wanawake wenye ulemavu ambapo wanakauli mbiu ya Fursa kwa wanawake
wenye ulemavu ni chachu ya maendeleo.
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa mtandao wa wanawake walemavu amesema kuwa ''Nia yetu ni kuwaunganisha wanawake walemavu ili kutatua changamoto mbalimbali zinazotukabili".
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa mtandao wa wanawake walemavu amesema kuwa ''Nia yetu ni kuwaunganisha wanawake walemavu ili kutatua changamoto mbalimbali zinazotukabili".
Mbunge
wa viti maaluum wa watu wenye ulemavu, Amina Moleli akifungua pazia
kwaajili ya uzinduzi wa mtandao wa wanawake nyenye ulemavu Tanzania
uzinduzi uliofanyika jijini Dar es Salaam leo.
Mwenyekiti wa jumuiya ya wanawake na watoto wenye ulemavu Tanzania,
Doris Kulanga akizungumza wakati wa uzinduzi wa Mtandao wa wanawake
wenye ulemavu jijini Dar es Salaam leo. amesema kuwa mtandao huo
utasaidia kupunguza changamoto mbalimbali zinazo wakabiri wanawanye
wenye ulemavu kwa kushirikiana pamoja na kupendana ili kuleta mabadiliko
yaliyo na tija kwa wanawake.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...