Ujenzi wa majengo mbalimbali katika Kituo cha Afya Cha Ihongole umeanza kutokana na fedha za Serikali Tsh. 500m/=. Ujenzi huu unahusisha kujenga Maabara, Chumba cha Upasuaji, Wodi ya Wazazi (Mama na Mtoto), kichomea taka , na nyumba ya Muuguzi/Daktari.


Yote haya ni ushirikiano kati ya Mbunge, Mkuu wa Wilaya, Waheshimiwa Madiwani, Mkurugenzi na watendaji wa Halmashauri, Serikali na Wananchi. Mafinga Sisi Kazi Tu
 Ujenzi wa Jengp la Mama na Mtoto ukiendelea
 Ujenzi wa Chumba cha upasuaji-Theatre ukiendelea
Jengo la Maabara ujenzi wake ukiendelea pia

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...