Kutoka kulia ni Baba Mzazi Mr. Noah Kadiva, mama mzazi Mrs. Florence Kadiva, Muhitimu Dr. Baraka Noah Kadiva, Mheshimiwa Balozi wa Tanzania Nchini Malaysia Dr. Ramadhan Dau, Mrs. Joyce Assenga na Mr. Deo Assenga.
Balozi wa Tanzania Nchimbi Malaysia Dr Ramadhani Dau Akiwa na Mdau Dr Baraka Noah Kadiva aliyelamba nondoz ya Udaktari leo Jumamosi katika chuo Kikuu cha MAHSA Kuala Lumpur.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...