Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa kampuni ya Vodacom Tanzania
Plc, Rosalynn Mworia(kulia) akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari
jijini Dar es Salaam (hawapo pichani) juu ya mwendelezo wa kampeni ya
Pesa ni M-Pesa ambapo wafanyabiashara watakao pokea malipo kwa njia
ya M-Pesa watajishindia zawadi za pesa taslim jumla ya shilingi
Milioni 200. Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha M-pesa, Polycap Ndekana.
Promosheni hiyo itadumu kwa muda wa miezi 2 na zaidi ya wafanyabiashara
800 wanaopokea malipo kwa M-Pesa watashinda zawadi kila siku, kila
wiki, kila mwezi na mshindi wa jumla atajishindia kitita cha Milioni 20.
Mkuu wa Kitengo cha M-pesa, Polycap Ndekana (kushoto) akishuhudiwa na Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa kampuni ya Vodacom Tanzania Plc, Rosalynn Mworia(kulia) wakati akifafanua jambo kwa waandishi wahabari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam juu ya mwendelezo wa kampeni ya Pesa ni M-Pesa ambapo wafanyabiashara watakao pokea malipo kwa njia ya M-Pesa watajishindia zawadi za pesa taslim jumla ya shilingi Milioni 200. Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha M-pesa, Polycap Ndekana. Promosheni hiyo itadumu kwa muda wa miezi 2 na zaidi ya wafanyabiashara 800 wanaopokea malipo kwa M-Pesa watashinda zawadi kila siku, kila wiki, kila mwezi na mshindi wa jumla atajishindia kitita cha Milioni 20
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...