Mkuu wa jeshi la polisi IGP Simon Sirro, akizungumza na askari wa vikosi vya Mjini Magharibi, Kusini Unguja na Kaskazini Unguja jana alipokwenda kufanya mazungumzo ya kikazi na maofisa na askari visiwani Unguja. IGP Simon aliwataka askari visiwani humo kuheshimu wananchi wakiwa kwenye kazi zao ili kuendelea kuleta heshima ya jeshi la polisi.
Askari wa vikosi vya Mjini Magharibi, Kusini Unguja na Kaskazini Unguja wakimsiliza IGP Simon Sirro alipokuwa anazungumza nao
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...