Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda anawaalika Wananchi wote waliofika kwenye Wiki ya Sheria na kusikilizwa Kero na malalamiko yao na jopo la Wanasheria kufika ukumbi wa Diamond Jubilee siku ya kesho February 10 kuanzia Saa mbili asubuhi kwaajili ya kupata mrejisho wa malalamiko waliyowasilisha kwa Wanasheria. 

Tayari maandalizi ya tukio hilo yamekamilika kwa 100%, unachotakiwa wewe ni kuwahi mapema ili uweze kujua hatma ya malalamiko yako.

Imetolewa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Dar es salaam. 

HAKIMU WA KWELI NI MUNGU.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...