Mboga aina ya Spinach fungu sh. 500, Tembele sh 500
Mkungu wa ndizi katika soko la Kinondoni unauzwa kati ya sh 25,000 hadi sh 30,000.
Bei za mchele katika soko la Kinondoni kama inavyoneshwa katika vibao
Mfanyabiashara akitembeza biashara zake katika maeneo ya kinondoni
Embe katika soko la Kinondoni linauzwa kati ya sh 1000 hadi sh 1500, Papai sh 2000 hadi 400 hutegemeana na ukubwa wa Papai, Nanasi sh 3000 hadi sh 4000, Ndizi Mbivu inauzwa kati ya sh 250 hadi sh 300.(Imeandaliwa na Emmanuel Massaka , Globu ya Jamii).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...