Baada ya kupata baraka zote toka kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda mabingwa wa muziki wa starehe nchini The Kilimanjaro band Wana Njenje wamerudi upya pale pale Salender Club jijini Dar kuanzia Jumamosi hii ya leo Machi 31, 2018 na kila Jumamosi kuanzia saa tatu hadi majogoo kama kama kawaida yao. Usiseme hukuambiwa Hallooo...Hallooooo..
Home
Unlabelled
NJENJE WAIBUKA UPYA SALENDER BRIDGE CLUB JIJINI DAR ES SALAAM KUANZIA LEO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...