Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala, Omary Kumbilamoto, akiajadili jambo na Padre wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu Karoli Lwanga ya Yombo Dovya, Father Kamili mara baada ya kumkabidhi zawadi ya Mbuzi.


Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala, Omary Kumbilamoto akimkabidhi Padre wa Kanisa Katoliki Yombo Father Kamili Zawadi ya Mbuzi kama sehemu yake ya shukrani mara baada ya kufanyiwa maombi wakati wa uchaguzi.
Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala, Omary Kumbilamoto, akizungumza na Viajana wa Kwaya wa Parokia ya Karoli Lwanga iliyopo Yombo Dovya jijini Dare s Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...