Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo akijibu hoja za Wabunge wakati wa kuhitimisha Bajeti ya OR- TAMISEMI.
Naibu Waziri –TAMISEMI Mhe.Josephat Sinkamba Kandege akijibu hoja wakati wa kuhitimisha Bajeti ya OR-TAMISEMI.
Naibu Waziri –TAMISEMI Mhe.Joseph George Kakunda akijibu hoja wakati wa kuhitimisha Bajeti ya OR-TAMISEMI
Katibu Mkuu OR-TAMISEMI Eng Mussa Iyombe(Pili kushoto) akiwa na watumishi wa Wizara wakifuatilia majadiliano ya Bajeti wakati wa kuhitimisha Bajeti ya OR-TAMISEMI.
Mkurugenzi wa Sera na Mipango OR-TAMISEMI John Cheyo(kushoto) akifuatiwa na Mkurugenzi wa Udhibiti wa huduma za TEHAMA Michael Moshiro wakati wa kuhitimisha Bajeti ya OR-TAMISEMI.
Baadhi ya wajumbe wa Menejimenti ya OR-TAMISEMI wakifuatilia mjadala wa kuhitimisha Bajeti ya TAMISEMI.
Baadhi ya wajumbe wa Menejimenti ya OR-TAMISEMI wakifuatilia mjadala wa kuhitimisha Bajeti ya TAMISEMI.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...