Beatrice anayefundisha lugha ya Kiswali chuo kikuu cha Massachusetts akimwelezea Profesa Alwiya Omar kabala profesa hyuyo hajapewa tuzo hiyo. Picha na Vijimambo Blog na Kwanza Production chini ya udhamini wa Kilimanjaro Studio
Kulia ni Profesa Alwiya Omar ambaye ni Clinical Professor of Linguistics and Afrcan Languages wa chuo kikuu cha jimbo la Indiana akipokea tuzo ya Walton ya ufanisi wa utafiti na ufundishaji wa lugha za kigeni Marekani siku ya Jumamosi April 21, 2018 katika hotel ya Hyatts Regecy, Dulles Virginia.
 Profesa Alwiya Omar akipata picha ya pamoja na maprofesa wenzake wanaofundisha katika vyuo vya Marekani siku ya Jumamosi April 21, 2018 katika hotel ya Hyatts Regecy, Dulles Virginia, siku alipopokea tuzo ya Walton.
Profesa Alwiya Omar akiongea mara baada ya kupokea tuzo hiyo.
Profesa Alwiya Omar akipata picha na wadau
Profesa Alwiya Omar akipata picha na Rais wa Jumuiya ya waTanzania DMV.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...