Waanzilishi wa mwanzo wa Vita ya Maji Maji walikuwa ni Machifu na mganga wa jadi kutoka jamii za Wangindo na wamatumbi na baadaye vuguvugu hilo lilienea kama moto kwenya jamii nyingi ikijumuisha jamii za Wamatumbi,Wamwera,Wangindo,Wangoni,wapogoro,Wandendeule,Wabena,Wasangu na nyingine nyingi. Kwa undani wa Historia hii ya Vita ya Maji Maji tizama sehemu ya pili ya Historia ya Vita hivyo.
KAMA ULIPITWA NA SEHEMU YA KWANZA YA HISTORIA YA VITA YA MAJI MAJI HII HAPA CHINI.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...