Halmashuri ya Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma imeazimia kuomba mkopo wa bilioni moja kutoka wizara ya fedha, Mkopo usio kuwa na riba kwa ajili ya mradi wa kuchakata na kuongeza ubora wa Dagaa Nyasa wanaopatikana Ziwa Nyasa kwa lengo la kuuza dagaa hao soko la kimataifa na kukuza kipato cha halmashauri na wavuvi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...