Ni furaha na fahari ilioje kwa Sensei Rumadha Fundi baada ya mwanae  Ruani Fundi Rumadha kuhitimu Ray Braswell High school,  huko Aubrey,  Texas, Marekani leo. Globu ya Jamii inaungana na familia ya Sensei Rumadha kumpongeza kijana wetu na kumtakia safari njema ya kielimu maishani mwake. HONGERA SANA RUANI!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...