Ni furaha na fahari ilioje kwa Sensei Rumadha Fundi baada ya mwanae Ruani Fundi Rumadha kuhitimu Ray Braswell High school, huko Aubrey, Texas, Marekani leo. Globu ya Jamii inaungana na familia ya Sensei Rumadha kumpongeza kijana wetu na kumtakia safari njema ya kielimu maishani mwake. HONGERA SANA RUANI!
Home
Unlabelled
Hongera sana Ruani Fundi Rumadha
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...