Mkurugenzi Mkuu TIB Corporate Bank Frank Nyabundege akitoa ufafanuzi juu ya riba zinazotolewa na Bank wakati wa jukwaa linawakutanisha wadau mbalimbali katika masuala ya kuwezesha na kuendeleza biashara pamoja na kujadili fursa mbalimbali na namna gani wadau wanaweza kusaidia kuinua fursa hizo.
Mkurugenzi wa matawi na masoko TIB Corporate Bank  Theresia Soka akitoa mada juu ya Bank hiyo wakati wa Jukwaa hilo linawakutanisha wadau mbalimbali katika masuala ya kuwezesha na kuendeleza biashara lililofanyika leo jijini Arusha.
Meneja wa Tawi la TIB CBL Arusha Juliana Mwansuva akiwakaribisha wananchi wa Arusha kufika katika Tawi ili kujipatia huduma za kibenki za Hali ya juu wakati wa jukwaa hilo.
 Washiriki mbalimbali kwenye mkutano iliowakutanisha wa watu zaidi ya 500 ili kujadili fursa mbalimbali na namna gani wadau wanaweza kusaidia kuinua fursa hizo.
 Mgeni rasmi Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe akiwa kwenye picha ya pamoja na wadhamini wa jukwaa hilo lililofanyika jijini Arusha.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...