Baadhi ya wanachama wa vyama vya Msingi vya ushirika wa Kilimo na Masoko katika wilaya Newala na Tandahimba Mkoani Mtwara wamemuomba Rais Dkt John Pombe Magufuli kuunda tume maalum ya kufanya uchunguzi juu ya Chama Kikuu cha Ushirika cha TANECU, ambacho hivi karibuni Naibu Waziri wa Kilimo Dakta Merry Mwanjelwa ametangaza kukigawa huku wanachama wake wakionekana kutoridhishwa na maamuzi hayo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...