Baadhi ya wanachama wa vyama vya Msingi vya ushirika wa Kilimo na Masoko katika wilaya Newala na Tandahimba Mkoani Mtwara wamemuomba Rais Dkt John Pombe Magufuli kuunda tume maalum ya kufanya uchunguzi juu ya Chama Kikuu cha Ushirika cha TANECU, ambacho hivi karibuni Naibu Waziri wa Kilimo Dakta Merry Mwanjelwa ametangaza kukigawa huku wanachama wake wakionekana kutoridhishwa na maamuzi hayo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...