MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU), Profesa Evaristo Liwa akizungumza machache wakati wa ufunguzi wa semina ya viongozi na wafanyakazi wa ARU iliyoendeshwa na Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO pia Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbass (kushoto) na Mwanadilpomasia Lucas Jackson (hayupo pichani) chuoni hapo mwishoni mwa wiki. Katikati ni Naibu Makamu Mkuu wa chuo, Mipango, Fedha na Utawala, Profesa Robert Kiunsi. Na Robert Okanda
Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO pia Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbass akitoa mada ya kuhusu umuhimu wa taasisi za serikali kutoa taarifa kwa umma na kusisitiza kwa mujibu wa sheria zinapaswa kutoa taarifa wana habari ndani ya siku 21 toka zinapokuwa zimehitajika wakati wa semina hiyo iliyofanyika ARU Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. 
Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO pia Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbass akitoa mada ya kuhusu umuhimu wa taasisi za serikali kutoa taarifa kwa umma na kusisitiza kwa mujibu wa sheria zinapaswa kutoa taarifa wana habari ndani ya siku 21 toka zinapokuwa zimehitajika wakati wa semina hiyo iliyofanyika ARU Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. 
MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU), Profesa Evaristo Liwa (kushoto) na sehemu ya viongozi wa ARU wakimsikiliza kwa makini Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO pia Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbass alipokuwa akiwasilisha mada. Kutokea (kushoto) ni Naibu Makamu Mkuu wa Chuo, Profesa Gabriel Kissenga, Naibu Makamu Mkuu wa Chuo, Mipango, Fedha na Utawala, Profesa Robert Kiunsi na Mwanadilpomasia kutoka Kituo cha Diplomasia Dar es Salaam, Lucas Jackson (kulia). 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...