Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Voluntary Services Oversea (VSO) Tanzania, Ndg. Dawn Hoyle alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (kushoto) akizungumza na ugeni kutoka Shirika la Voluntary Services Oversea (VSO) Tanzania ulioongozwa na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Voluntary Services Oversea (VSO) Tanzania, Ndg. Dawn Hoyle (wa pili kushoto) walipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini
Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (wa pili kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na ugeni kutoka Shirika la Voluntary Services Oversea (VSO) Tanzania walipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...