Pichani
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli,
alipokwenda kuwajulia hali watoto hao wawili Mapacha walioungana Maria
na Consolata ambao walikuwa wamelazwa katika hospitali ya Taifa ya
Muhimbili kabla ya kuhamishiwa Hospitali ya Rufaa Mkoani Iringa
Watoto
Maria na Consolata ambao ni mapacha walioungana wamefariki Dunia usiku
huu katika hospitali ya Rufaa mkoani Iringa.Chanzo cha taarifa ya
kufariki kwa watoto hao imetolewa usiku huu na Mkuu wa Wilaya ya Iringa
Mh.Richard Kasesela kupitia ukurasa wake wa Twitta kama unavyoonekana
hapa chini.
TAARIFA ZAIDI TUTAWAJULISHA KADIRI YA ZIKAVYOKUWA ZIKIENDELEA KUPATIKANA.
MUNGU AZILAZE ROHO ZA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI-AMIN
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...