Mkuu wa kitengo cha biashara wa DCB Benki James Ngaluko akizungumza na viongozi wa timu zinazoshiriki Ndondo Cup 2018 walipotembelea Benki hiyo kujifunza huduma mbalimbali za kibenki na kufungua akaunti za timu zao. DCB Benki ndiyo mdhamini wa Ndondo cup 2018.  
 Moja ya waratibu wa mashindano ya Ndondo Cup Yahya Mohamed akizungumza na viongozi wa timu za Ndondo Cup wakati walipotembelea ofisi za benki ya DCB ambaye ni mdhamini wa michuano hiyo kwa mwaka 2018.
Moja ya viongozi wa timu shiriki za michuano ya  Ndondo Cup akizungumza mbele ya  viongozi wa benki ya DCB na waandaaji wa Ndondo Cup  wakati walipotembelea benki hiyo ambao ni wadhamini wa mashindano hayo leo Jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...