Jeneza lenye mwili wa mke wa Mtangazaji maarufu nchini na Radio Clouds FM, Ephrahim Kibonde, marehemu Sarrah Kibonde, ukiwasili kwenye makaburi ya Kinondoni jijini Dar es salaam tayari kwa mazishi.
Mtangazaji maarufu nchini na Radio Clouds FM, Ephrahim Kibonde akiwa na watoto wake wakati wa mazishi ya Mkewe, Sarrah Kibonde kwenye makaburi ya Kinondoni jijini Dar es salaam jioni hii tayari kwa mazishi.
Mchungaji akitoa neno katika mazishi hayo.
Sehemu ya Waombolezaji wakiwa kwenye mazishi ya Mke wa Mtangazaji maarufu nchini na Radio Clouds FM, Ephrahim Kibonde, marehemu Sarrah Kibonde, kwenye makaburi ya Kinondoni jijini Dar es salaam jioni hii.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...