Msanifu majengo wa Kampuni ya InterConsult Ltd Bw. Beno Matata akieleza mikakati ya kampuni hiyo katika kuhakikisha kuwa inasimamia mradi wa ujenzi wa Kituo Maalum kitakachotumika kuwajengea uwezo wanawake wanaojishughulisha na uchimbaji wa madini, Kituo hicho kitawanufaisha wachimbaji hao ikiwa ni sehemu ya Juhudi za Serikali kupitia Wizara ya Madini kuinua wachimba hao.
Msanifu majengo wa Kampuni ya InterConsult Ltd Bw. Beno Matata akimkabidhi Meneja wa SUMA JKT Kanda ya Kati Mhandisi David Palangyo ramani ya jengo la ghorofa tatu linalojengwa na SUMA JKT katika chuo cha madini Dodoma ikiwa ni sehemu ya mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali Endelevu wa Rasilimali Madini (Sustainable Management of Mineral Resources Project- SMMRP), mradi huo unatekelezwa na Wizara ya Madini ikiwa ni sehemu ya mikakati ya kuimarisha sekta hiyo na kukuza uchumi.
Msanifu majengo wa Kampuni ya InterConsult Ltd Bw. Beno Matata akionesha mipaka ya eneo kitakapojengwa kituo maalum kitakachotumika kuwajengea uwezo wanawake wanaojuhusisha na uchimbaji wa madini kupitia chama cha wachimbaji wanawake (Women Mining Association),jengo hilo lenye gorofa tatu linajengwa katika chuo cha madini Dodoma.
Msanifu majengo wa Kampuni ya InterConsult Ltd Bw. Beno Matata akimkabidhi Meneja wa SUMA JKT Kanda ya Kati Mhandisi David Palangyo ramani ya jengo la kisasa la gorofa 3 linalojengwa chuo cha madini Dodoma likilenga kuwajengea uwezo wanawake wanaojuhusisha na uchimbaji wa madini kupitia chama cha wachimbaji wanawake (Women Mining Association).
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...