Mkaguzi wa Ukaguzi wa mabasi katika Kituo Kikuu cha Mabasi cha Ubungo, Ibrahim Samwix akitoa maelekezo kwa askari usalama barabarani katika kituo cha ukaguzi wa mabasi cha Ubungo jijini Dar es Salaam.
Askari wa Usalama Barabarani Kituo Kikuu cha Mabasi Ubungo , Nuru Hussein akimpa maelekezo dereva wakati wakifanya ukaguzi mabasi kutuo hicho, jijini Dar es Salaam.
Askari wa Usalama Barabarani Kituo Kikuu cha Mabasi Ubungo , Nuru Hussein akiwa katika uvungu wa basi katika kituo cha ukaguzi wa mabasi cha Ubungo jijini Dar es Salaam.
Askari wa Usalama Barabarani Kituo Kikuu cha Mabasi Ubungo , Nuru Hussein akiwa katika uvungu wa basi akimpa maelekezo fundi wa basi hilo baada ya kubaini ubovu moja ya kifaa katika basi hili katika kituo cha ukaguzi wa mabasi cha Ubungo jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...