Mwananchi Mkazi wa Jiji la Dodoma ambaye pia ni mlemavu asiyeona akiipapasa SIWA ya mfano baada ya kutembelea Banda la Ofisi ya Bunge katika Maonyesho ya Nanenane Jijini Dodoma.
Afisa wa Ofisi ya Bunge, Ndugu Omary Machunda akitoa elimu kuhusiana na Bunge kwa wanafunzi na raia wengine waliotembelea Banda la Ofisi ya Bunge katika maonyesho ya Nanenane Jijini Dodoma.
Katibu wa Bunge, Ndugu Stephen Kagaigai akipewa maelezo ya shughuli zinazofanywa na maafisa wa Ofisi ya Bunge katika maonyesho ya Nanenane Jijini Dodoma baada ya kutembelea Banda la Ofisi hiyo. Anayetoa maelezo ni Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Habari, Elimu kwa Umma na Mwasiliano Bi. Zuhura Mtatifikolo.
Katibu wa Bunge, Ndugu Stephen Kagaigai akipewa maelezo ya shughuli zinazofanywa na maafisa wa Ofisi ya Bunge katika maonyesho ya Nanenane Jijini Dodoma baada ya kutembelea Banda la Ofisi hiyo. Anayetoa maelezo ni Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Habari, Elimu kwa Umma na Mwasiliano Bi. Zuhura Mtatifikolo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...