Naibu
Waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt.
Faustine Ndugulile (wa pili kulia) akipokea Cheti cha Mfumo wa Uhakiki
bora wa kiwango cha Kimataifa (ISO 9001:2015) kutoka kwa Muwakilishi wa
Taasisi ya BSI (British Standards Institute), Mini Sharma (kushoto)
iliyotolewa kwa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF). Wanaoshuhudia ni
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mfuko huo, Spika wa Bunge Mstaafu,
Anna Makinda (wa pili kushoto) pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa
Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Bernard Konga.
Naibu
Waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt.
Faustine Ndugulile (katikati) akikabidhi Cheti cha Mfumo wa Uhakiki bora
wa kiwango cha Kimataifa (ISO 9001:2015) kwa Mwenyekiti wa Bodi ya
Wakurugenzi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Spika wa Bunge
Mstaafu, Anna Makinda kilichotolewa na Taasisi ya BSI (British Standards
Institute) kwa Mfuko huo leo Agosti 20, 2018.
Mwenyekiti
wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Spika
wa Bunge Mstaafu, Anna Makinda (katikati) naye alikabidhi cheti hicho
kwa Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Bernard
Konga.
Mkurugenzi
Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Bernard Konga akionyesha
cheti hicho kwa wageni mbalimbali waliohudhulia hafla hiyo.
Naibu
Waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt.
Faustine Ndugulile akizungumza wakati akitoa hotuba yake katika hafla ya
kupokea Cheti cha Mfumo wa Uhakiki bora wa kiwango cha Kimataifa (ISO
9001:2015)
kilichotolewa na Taasisi ya BSI (British Standards Institute)
Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), leo Agosti 20, 2018.
Mwenyekiti
wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Spika
wa Bunge Mstaafu, Anna Makinda akifurahi jambo wakati akizungumza katika
hafla hiyo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...