Mkuu wa mkoa wa RUVUMA Christine Mndeme amemtaka mkuu wa wilaya ya Namtumbo Mh.Sophia Kizigo kuhakikisha anawashirikisha viongozi wa dini na wazee katika wilaya hiyo ili kuweka mambo sawia katika utendaji wa kazi za serikali.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...