Tunawatangazia watu wote waliosoma katika Shule ya Sekondari ya Wasichana Machame kuundwa kwa “Machame Girls Alumni”.
Lengo kuu ni kuienzi elimu bora tuliyoipata, kwa kushirikishana masuala ya maendeleo, yanayoihusu shule hiyo na jamii kwa ujumla.
Kwa wote wanaopenda kujiunga nasi, tafadhali piga au tuma ujumbe wa simu au whatsapp kwa namba 0784485678 au 0784368484/0768368484 kabla ya tarehe 30 August, 2018.
JIVUNIE SHULE YAKO, JENGA TAIFA LETU
KAMATI YA MAANDALIZI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...