Tunawatangazia watu wote waliosoma katika Shule ya Sekondari ya Wasichana Machame kuundwa kwa “Machame Girls Alumni”. 

Lengo kuu ni kuienzi elimu bora tuliyoipata, kwa kushirikishana  masuala ya maendeleo, yanayoihusu shule hiyo na jamii kwa ujumla.

Kwa wote wanaopenda kujiunga nasi, tafadhali piga au tuma ujumbe wa simu au whatsapp kwa namba 0784485678 au 0784368484/0768368484 kabla ya tarehe 30 August, 2018.

 JIVUNIE SHULE YAKO, JENGA TAIFA LETU
KAMATI YA MAANDALIZI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...