Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana Tanzania Dkt. Maimbo Willium Mndolwa (kulia) wakati alipofika Ikulu Mjini Zanzibar akiwa na Viongozi mbali mbali wa Kanisa hilo, Septemba 10, 2018.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akizungumza na Uongozi wa Kanisa la Anglikana Tanzania ulioongozwa na Askofu Mkuu wa kanisa hilo Dkt. Maimbo Willium Mndolwa (wa nne kushoto) wakati alipofika Ikulu Mjini Zanzibar akiwa na Viongozi mbali mbali wa Kanisa hilo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Uongozi wa Kanisa la Anglikana Tanzania ulioongozwa na Askofu Mkuu wa kanisa hilo Dkt. Maimbo Willium Mndolwa (wa tatu kushoto) babada ya mazungumzo wakati alipofika Ikulu Mjini Zanzibar akiwa na Viongozi mbali mbali wa Kanisa hilo. Picha na Ikulu, Zanzibar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...