Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Kamishna Diwani Athumani Msuya alipomtembelea ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Kamishna Diwani Athumani Msuya alipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. John Mongella alipomtembelea ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. John Mongella alipomtembelea ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) akiongoza majadiliano yenye lengo la kubadilishana uzoefu wa kazi baina ya Makamishna wa Tume ya utumishi wa Bunge dhidi ya Tume ya Baraza la wawakilishi kutoka Zanzibar kikao kilichofanyika Bungeni Jijini Dodoma. Kikao pia kilihudhuriwa na katibu wa Bunge (hayupo kwenye picha) na Watendaji wakuu kutoka pande hizo mbili
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati mwenye tai ya damu ya mzee) akiwa katika picha ya pamoja na Makamishna wa Tume ya utumishi wa Bunge na Tume ya Baraza la wawakilishi kutoka Zanzibar baada ya kikao cha pamoja kilichofanyika Bungeni Jijini Dodoma.

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...