Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Kamishna Diwani Athumani Msuya alipomtembelea ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Kamishna Diwani Athumani Msuya alipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. John Mongella alipomtembelea ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. John Mongella alipomtembelea ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
Spika
wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) akiongoza majadiliano yenye lengo
la kubadilishana uzoefu wa kazi baina ya Makamishna wa Tume ya utumishi
wa Bunge dhidi ya Tume ya Baraza la wawakilishi kutoka Zanzibar kikao
kilichofanyika Bungeni Jijini Dodoma. Kikao pia kilihudhuriwa na katibu
wa Bunge (hayupo kwenye picha) na Watendaji wakuu kutoka pande hizo
mbili
Spika
wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati mwenye tai ya damu ya mzee) akiwa
katika picha ya pamoja na Makamishna wa Tume ya utumishi wa Bunge na
Tume ya Baraza la wawakilishi kutoka Zanzibar baada ya kikao cha pamoja
kilichofanyika Bungeni Jijini Dodoma.
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...