Mwenyekiti wa Tume ya Utangazaji Zanzibar Dkt,Ally Saleh Mwinyikai akimkaribisha Waziri wa Habari Utalii na Michezo Mahmoud Thabit Kombo (hayupo pichani)katika hafla ya Kukabidhi Leseni za Utangazaji (TV ONLINE)ambapo jumla ya Tv Online Nane na Kebol mbili zilipatiwa hafla Iliofanyika katika ukumbi wa Wizara ya Habari Utalii na Michezo Kikwajuni Zanzibar.
Waziri wa Habari Utalii na Michezo Mahmoud Thabit Kombo akitoa hotuba katika hafla ya Kukabidhi Leseni za Utangazaji (TV ONLINE)ambapo jumla ya Tv Online Nane na Kebol mbili zilipatiwa hafla Iliofanyika katika ukumbi wa Wizara ya Habari Utalii na Michezo Kikwajuni Zanzibar.
Waziri wa Habari Utalii na Michezo Mahmoud Thabit Kombo kulia akimkabidhi Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu Hassan Hatibu Leseni ya Utangazaji (TV ONLINE)katika hafla ya kukabidhi leseni Iliofanyika katika ukumbi wa Wizara ya Habari Utalii na Michezo Kikwajuni Zanzibar.
Waziri wa Habari Utalii na Michezo Mahmoud Thabit Kombo kulia akimkabidhi Naibu Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo Zanzibar Leseni ya Utangazaji (TV ONLINE)katika hafla ya kukabidhi leseni Iliofanyika katika ukumbi wa Wizara ya Habari Utalii na Michezo Kikwajuni Zanzibar.
Waziri wa Habari Utalii na Michezo Mahmoud Thabit Kombo katikati akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi na Waliopatiwa Leseni za Utangazaji(TV ONLINE)Katika hafla ya kukabidhi leseni Iliofanyika katika ukumbi wa Wizara ya Habari Utalii na Michezo Kikwajuni Zanzibar.PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANIZBAR.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...