Mwenyekiti wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Andrew Chenge akiongoza kikao cha sita cha mkutano wa kumi na mbili cha Bunge hilo leo Jijini Dodoma.
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu, Anthony Mavunde, akijibu maswali Bungeni, jijini Dodoma, Septemba 11, 2018.
 Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe.Dkt Hussein Mwinyi  akieleza mipango mbalimbali ya jeshi la kujenga Taifa katika kuanzisha mafunzo ya stadi za kazi kwa Vijana waliojiunga na jeshi ilo kwa kujitolea ili waweze kuajiriwa na taasisi zingine za Serikali,Sekta binafsi au kujiajiri wenyewe.
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama, akizungumza Bungeni jijini Dodoma, Septemba 11, 2018.
 Waziri wa Fedha na Mipango Mhe.Dkt Philip Mpango akisoma Muswada wa Sheria ya marekebisho ya sheria ya ubia kati ya sekta ya umma na sekta binafsi wa mwaka 2018 leo Bungeni Jijini Dodoma.
 Waziri wa Ujenzi ,Uchukuzi na Mawasiliano Mhe.Mhandisi Isack Kamwelwe akitolea ufafanuzi juu ya changamoto za kivuko cha Mv Mafanikio katika kusaidia dharura zinazojitokeza kwa wagonjwa hasa akina mama wajawazito kuhudumiwa wakati wa usiku leo Bungeni Jijini Dodoma.
 Naibu Waziri wa Viwanda,Biashara na Uwekezaji Mhe.Mhandisi Stella manyanya akielezea mipango  mbalimbali ya Serikali katika kufanikisha azma nzuri ya uchumi wa Viwanda nchini leo Bungeni Jijini Dodoma.
 Mwalimu Joyce Solomon wa Shule ya Tumaini Mission kutoka Arumeru akifuatilia shughuli mbalimbali za Bunge pamoja na wanafunzi wa shule hiyo leo Jijini Dodoma.
Picha na Daudi Manongi,MAELEZO.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...