Raundi ya nne ya Ligi ya Tanzania Bara (TPL) inaendelea tena wikiendi hii kwa timu mbalimbali kukutana kwenye viwanja tofauti nchini.
Ratiba hiyo ya Ligi inaonesha Yanga na Simba wote wakiwa Jijini Dar es Salaam. Yanga akicheza michezo 11 katika dimba la Uwanja wa Taifa, minne akiwa ugenini na saba nyumbani. Kwa upande wa Simba atacheza mechi nane, katika mechi hizo sita akiwa nyumbani na mbili ugenini,


Mechi za Yanga  Uwanja wa Taifa
1.Yanga SC vs Stand Utd (Nyumbani)
2.Yanga SC vs Coastal Union (Nyumbani)
3.Yanga SC vs Singida Utd (Nyumbani)
4.JKT Tanzania vs Yanga SC (ugenini)
5.Simba SC vs Yanga SC (ugenini)
6.Yanga SC vs Mbao FC (Nyumbani)
7.Yanga SC vs Alliance FC (Nyumbani)
8.KMC vs Yanga SC (ugenini)
9.Yanga SC vs Lipuli FC (Nyumbani)
10.Yanga SC vs Ndanda FC (Nyumbani)
11.African Lyon vs Yanga SC (ugenini)


Mechi za Simba Uwanja wa Taifa
1.Simba SC vs Biashara Utd (Nyumbani)
2.Simba SC vs Yanga SC (Nyumbani)
3.Simba SC vs African Lyon (Nyumbani)
4.Simba SC vs Stand Utd (Nyumbani)
5.Simba SC vs Alliance FC (Nyumbani)
6.Ruvu Shooting vs Simba SC (ugenini)
7.JKT Tanzania vs Simba SC (ugenini)
8.Simba SC vs KMC (Nyumbani)


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...