Mafenesi yakiwa juu ya  mti.
  Mafenesi yakiwa  kando ya Barabara ya Kilwa kwaajili ya kusafirishwa katika  kijiji cha  Kimanzi chana leo Wilaya Mkuranga mkoa wa Pwani.
 Mfanyabiashara wa  mafenesi katika kituo cha mabasi Mbagala jijini Dar es Salaam   akiwauzia wateja wake baada ya msimu wa matunda hayo kuanza ambapo fenesi moja huuzwa kati ya sh 1500 hadi sh 4000 kutokana na ukubwa wake.
(Picha na Emmanuel Massaka wa MMG)
Fenesi Sokoni.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...