Leo tarehe 16/10/2018 majira ya saa 13:00 mlima Kitonga katika barabara kuu ya Iringa – Morogoro Wilaya ya Kilolo na Mkoa wa Iringa . Gari lenye namba za usajili T 852DHA aina ya ZHONGTONG BUS mali ya NEWFORCE wa Dsm likiendeshwa na IDD s/o BAKARI MALULI , kabila Mhehe, miaka 38 na mkazi wa Dsm akikwepa gari lenye namba za usajili T.623DMG, likiendeshwa na RAMADHAN S/O SALIMIN ambapo basi hilo la kampuni ya New force kwa kuepuka kugongana uso kwa uso liliacha barabara na kupinduka hatimaye kusababisha majeruhi 12 ambao ni .

1.LEONARD s/o POTES, KYUSA, 32 YRS WA MPANDA
2.JAMES s/o NDUNGURU, MNGONI, 49YRS, WA DSM,
3.IDD s/o BAKARI MALULI, MHEHE, 38YRS, DEREVA WA DSM
4.BAKARI s/o ZAYUMBA, MBONDEI, 27YRS WA MBEYA
5.NDEKE S/o MWAIFUSE 53YRS, WA DSM
6.TABIA d/ o FRANCIS, KYUSA, 65YRS, WA MBEYA
7 .GRACE D/o BONIPHACE, MCHAGA 24YRS, WA MOROGORO
8.GRORY D/o BONIPHACE MCHAGA 24YRS, WA MOROGORO
9.ANNA D/o ALEX 22YRS, MUHAYA, WA DSM
10.AZIZA D/o MUHINA, MZIGUA, 43YRS WA DSM
11.SAWA s/o MTINGALA MAKUA, 52YRS, WA DSM
12.IAN D/o EVANCE 2YRS, KYUSA WA MBEYA

Waliolazwa hospitali teule ya Itunda wilaya ya Kilolo. Chanzo cha ajali ni uzembe wa dereva wa gari namba T623 kulipita gari lingine bila kuchukua tahadhari..Amedhibitisha Kaimu Rpc Kamishna msaidizi wa Polisi. DEUSDEDIT KASINDO.
 Mmoja wa wasamaria wema akimsaidia mmoja wa majeruhi wa ajali hiyo
 Baadhi ya abiria walionusurika kifo wakitoka kwenye basi hilo mara baada kupata ajali 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...