Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB, Ally Laay (kulia) aliyeambatana na Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Benki hiyo, Abdulmajid Nsekela (kushoto) wakati walipofika ofisini kwake Magogoni Ikulu jijini Dar es salaam, Oktoba 12, 2018. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa (kushoto) akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (wa pili kulia) aliyeambatana na ujumbe wake kumtembelea ofisini kwake, Magogoni Ikulu jijini Dar es salaam, Oktoba 12, 2018 ikiwa ni sehemu ya kujitambulisha kwake toka aingie rasmi kazini. wa pili kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB, Ally Laay akifuatiwa na Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja, Tully Esther Mwambapa.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa (katikati) akimsikiliza Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully Esther Mwambapa alipokuwa akiutambulisha ujumbe alioambatana nao.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza jambo na Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela, baada ya kukutana leo ofisini kwake, Magogoni Ikulu jijini Dar es salaam, Oktoba 12, 2018 ikiwa ni sehemu ya kujitambulisha kwake toka aingie rasmi kazini. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...