Dk. Neema Gedion Mogha Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Elimu DUCE Chang'ombe jijinin Dar es salaam na Mkuu wa Idara ya Sayansi ya Viumbe Hai (Baiolojia) akifumgua semina ya Klabu za Jinsia (DUCE Gender Club) za wanafunzi wanaosoma katika chuo hicho iliyofanyika chuoni hapo mwishoni mwa wiki iliyopita ambapo mada mbalimbali zilitolewa katika kuwajengea uwezo wanafunzi hao katika masuala ya kijinsia ili kujiepusha kufanya mambo mbalimbali yanayoweza kupelekea rushwa ya ngono.

Ikiwa ni pamoja na wanafunzi wanawake kujitoa bila woga katika masuala ya uongozi, katika picha kulia ni Bi. Upendo Mlungusye Msaidizi Mshauri wa Wanafunzi DUCE na kutoka kushoto ni Dorothea Fumpuni Mhadhiri na Mlezi wa klabu za Jinsia DUCE na Dk. Ikupa Moses Mratibu wa Kitengo cha Jinsia DUCE.
Dk. Neema Gedion Mogha Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Elimu DUCE Chang'ombe jijinin Dar es salaam na Mkuu wa Idara ya Sayansi ya Viumbe Hai (Baiolojia) akifafanua jambo wakati akifumgua semina ya Klabu za Jinsia (DUCE Gender Club) za wanafunziwa chuo hicho mwishoni mwa wiki iliyopita kulia ni Bi. Upendo Mlungusye Msaidizi Mshauri wa Wanafunzi DUCE na kushoto ni Dk. Ikupa Moses Mratibu wa Kitengo cha Jinsia DUCE.
Dk. Ikupa Moses Mratibu wa Kitengo cha Jinsia DUCE akimkaribisha Dk. Neema Gedion Mogha Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Elimu DUCE Chang'ombe jijinin Dar es salaam na Mkuu wa Idara ya Sayansi ya Viumbe Hai (Baiolojia) ili kufungua semina hiyo kutoka kulia ni Mhadhiri wa Chuo hicho Dk. Perpetua John Urio na Bi. Upendo Mlungusye Msaidizi Mshauri wa Mshauri wa Wanafunzi DUCE.

Dk. Ikupa Moses Mratibu wa Kitengo cha Jinsia DUCE akizungumza katika semina hiyo.
Baadhi ya wanafunzi na wanachama wa klabu za jinsia Chuo Kikuu cha Elimu DUCE wakiwa katika semina hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...