Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na
Bibi Sifaeli Kundashuma ambaye ni mmoja walioshiriki katika tukio la
kuchanganya mchanga wakati wa Muungano wa Tanzanyika na Zanzibar.Makamu
wa Rais yupo wilayani Hai kwa ziara ya kukagua na kuhamasisha shughuli
za maendeleo. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais) .
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akizungumza na wananchi mara baada ya kufungua wodi ya Wanawake
katika hospitali ya wilaya ya Hai. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...